mambo
Vanesa mdee ft brain lorenzo come over Rimex | DOWNLOAD
YANGA 3-0 AZAMU UWANJA WA TAIFA LEO SPT 14 LEO
erastoboy.blogspot.com
Ikiwa pazia la ligi kuu Tanzania limefunguliwa leo kwa mchezo mmoja uliochezwa leo katika uwanja wa taifa dar es salaamu , mchezo wa ngao ya jamii Kati ya azamu fc Na Dar young africa uliochezwa leo umeisha kwa yanga kushinda magoli matatu kwa bila 3-0, wafungaji leo ni Gelson jaja 65,75 alipachika magoli mawili katika mchezo wa leo na goli la tatu likiwekwa kimyani na mshambuliaji matata kutoka tanzania Saimon msuva ,ni goli la kipekee alilofunga na la ushindi hadi mwisho wa mchezo yanga 3 azamu 0 ,tia coment yako hapo chini mdau kwa kile ulicho kiona.
YANGA 3-0 AZAMU UWANJA WA TAIFA LEO SPT 14 LEO
Ikiwa pazia la ligi kuu Tanzania limefunguliwa leo kwa mchezo mmoja uliochezwa leo katika uwanja wa taifa dar es salaamu , mchezo wa ngao ya jamii Kati ya azamu fc Na Dar young africa uliochezwa leo umeisha kwa yanga kushinda magoli matatu kwa bila 3-0, wafungaji leo ni Gelson jaja 65,75 alipachika magoli mawili katika mchezo wa leo na goli la tatu likiwekwa kimyani na mshambuliaji matata kutoka tanzania Saimon msuva ,ni goli la kipekee alilofunga na la ushindi hadi mwisho wa mchezo yanga 3 azamu 0 ,tia coment yako hapo chini mdau kwa kile ulicho kiona.
HUYU HAPA NI MSHINDI WA SUPER NYOTA KUTOKA JIJINI MWANZA NA HIZI HAPA NI PICHA AMBAZO ZINA MUONESHA MSHINDI WA SUPER NYOTA MWANZA:
KUWA WA KWANZA KUFATILIA MATUKIO YA FIESTA YANAYOENDELEA JIJINI MWANZA:
SITAKI KAZI BY NICK WAPILI HIZI NDO PICHA ZAKE ZA UANDAAJI WA VIDEO YAKE SITAKI KAZI
AJALI MBAYA YA BASI LA MOROBEST KUUPATA AJALI HIVI PUNDE
Kuwa wa kwanza kuona picha za shilole hapa akiwa katika utengenezaji wa video yake mpya ” NAMCHUKUA” Tazama click hapo chini uzitazame.
Shilole yupo nchini kenya anaandaa video yake mpya ” NAMCHUKUA” taarifa ambazo zimetufikia hivi punde ni kwamba shilole yupo katika harakati za mwisho kushuuti ngoma yake hiyo mpya ” NAMUCHUKUA” ndo jina ambalo shilole amelipa ngoma yake hiyo mpya , mpenzi ,shabiki wa shilole kaa taayari kupokea kazi mpya kutoka kwa shilole, pia naomba mpenzi msomaji kukuonesha baazi ya picha za shiole akiwa katika utengenezaji wa video ya ” NAMCHUKUA” tazama hapa chini.